Count Down ! Mbivu Mbichi ya Joshua Nassary Bungeni yamsubiri Mkuchika leo.. #share
Kamati ya Kudumu ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge chini ya Mwenyekiti wake Mhe. George Mkuchika, leo inatarajiwa kuwasilisha Ripoti Maalum ya Kiuchunguzi kuhusiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasary kudharau Mamlaka ya Spika.
Macho na masikio ya wananchi wengi yako Dodoma kufuatia makali yaliyoonyeshwa na Kamati hiyo iliyompa Mbunge wa Kawe Halima Mdee na Esther Bulaya vifungo vya mwaka mmoja mmoja nje ya Vikao vya Bunge kufuatia sakata la Mnyika..
Ripoti ya leo ya Mhe. Mkuchika pia inatarajiwa kumgusa Mhe. Concesta Rwamlaza (Viti Maalum Chadema).
Ungana nasi kupitia channel ya Bunge stream baada ya kikao kinachoendelea cha maswali na majibu kupata yatakayojiri wakati wa uwasilishaji wa Ripoti hiyo maalum.
Macho na masikio ya wananchi wengi yako Dodoma kufuatia makali yaliyoonyeshwa na Kamati hiyo iliyompa Mbunge wa Kawe Halima Mdee na Esther Bulaya vifungo vya mwaka mmoja mmoja nje ya Vikao vya Bunge kufuatia sakata la Mnyika..
Ripoti ya leo ya Mhe. Mkuchika pia inatarajiwa kumgusa Mhe. Concesta Rwamlaza (Viti Maalum Chadema).
Ungana nasi kupitia channel ya Bunge stream baada ya kikao kinachoendelea cha maswali na majibu kupata yatakayojiri wakati wa uwasilishaji wa Ripoti hiyo maalum.
Mwenyekiti wa kamati ya Haki, Bungeni leo anatarajiwa kuwasilisha shauri la kudharau mamlaka ya spika linalomhusu Joshua Nassari. pic.twitter.com/jKhfAp9WPz— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) June 28, 2017
No comments:
Post a Comment