Magazetini Leo 17/06/2017: Soma kuu zifuatazo.. Dude la Makinikia sasa kuimaliza CCM,.. Wabunge wake, Mawaziri wadaiwa kuvuna Mamilioni.. #share.. JK amtembelea Kardinali Pengo..

LOWASA alitingisha tena Bunge Mjini Dodoma.. Taharuki yatanda Bunge la EALA lashindwa kuanza kazi.. kufungiwa Mawio kwaamsha hasira/hisia.. Na njia ya Muafaka Acacia/Tanzania bado ndefu sana.. na katika Burudani.. Ona kivuli cha 'usaliti' kinavyowatafuna Zari na Diamond Platnumz.. Hanspope amalizana na Okwii Kampala,..  Bossou aambiwa baki umshikishe adabu...


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search