Sakata la Makinikia leo limewainua Chadema.. ona hapa walivyofunguka live..
Ndugu msomaji wa Matukio blog.. leo Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kiliitisha mkutano wa Waandishi wa Habari kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea Nchini mwetu kwa sasa.
Katika press hiyo ya leo, suala zima la 'Makenikia' ambalo limekuwa moto kwenye headlines, lilipewa kipaumbele kuliko mengineyo.
Kama ulipitwa, na live coverage basi hujachelewa.. fuatana nami hapa nimekukusanyia kilichoongelewa mwanzo mwisho kwa msaada wa global tv...
Katika press hiyo ya leo, suala zima la 'Makenikia' ambalo limekuwa moto kwenye headlines, lilipewa kipaumbele kuliko mengineyo.
Kama ulipitwa, na live coverage basi hujachelewa.. fuatana nami hapa nimekukusanyia kilichoongelewa mwanzo mwisho kwa msaada wa global tv...
No comments:
Post a Comment