Magazetini leo 20/06/2017: Soma Kuu zifuatazo.. Dude la IPTL limeamshwa, Rugemalila, Harbinder Singh KIZIMBANI.. #share Majaribu, Kamishna Sianga atishiwa kuuawa..
Nape 'aunguruma Bungeni' asema JPM si wa kwanza; ataka Mkapa,JK wasipuuzwe... Meya Jacob wa Chadema 'mikononi mwa Polisi', Maazimio sita ya Bunge yalivyowaponza Vigogo wa IPTL.. Walemavu wamng'ang'ania IGP Sirro.. Taharuki kuu yawakumba 'wawekezaji' wapya Vodacom; safari yao ya 'matumaini' kuelekea DSE bado kitendawili.. na katika michezo Ali Mayay Tembele 'atinga TFF kiaina'..




























No comments:
Post a Comment