News Alert !! Hivi ndivyo viwanda vitano (5) vikubwa atakavyozindua JPM akianza ziara Mkoa wa Pwani leo.. #share

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, leo J'nne tarehe 20/06/2017 anaanza ziara ya kikazi katika mkoa wa Pwani.

Taarifa rasmi iliyopatikana kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam, katika ziara hiyo Mhe. Rais atapata fursa ya kuzindua viwanda vikubwa vitano pamoja na mradi mkubwa wa maji.

Matukio blog tumekuwekea taarifa rasmi ya Ikulu kama tulivyoipokea.. fuatana nasi.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search