Morning top news !! Makaburi kupisha Ujenzi wa Barabara Mwanza, Usipolipa Kodi ya Jengo leo.. Faini 75,000 #share Mwigulu ataka Mnyika 'achunge' kauli zake..

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba amewaasa Mbunge John Mnyika na Mhe. Lema kuchunga kauli zao wanapoongelea swala zima la mauaji ya kibiti kwani wanaweza kuhitajika kuisaidia polisi. 

Akitoa maoni yake baada ya Wabunge hao kuchangia hoja Bungeni, Mhe. Mwigulu alimuuliza Mnyika ampe idadi ya wahalifu waliobakia kama kweli anaamini Jeshi la Polisi halifanyi kazi zake kudhibti hali ya kibiti..









About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search