News Flash !! JPM Ataka muda Uongezwe '77; atembelea banda la LHRC.. #share Trump asema 'tumewachoka Korea..' Eti kwa nini huwezi acha kula chipsi..? haya soma hapa..!
Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.John Pombe MagufulI ameiagiza mamlaka ya maendeleo ya biashara -TANTRADE kuongeza muda wa maonesho ya biashara katika viwanja vya sabasaba ili watanzania waendelee kutembelea na kujifunza teknolojia zinazooneshwa.
Akiongea kwenye ufunguzi wa maonesho ya 41 ya biashara ya kimataifa Dar es salaam yanayofanyika katika uwanja wa maonesho ya biashara wa Mwalimu Nyerere yaliyopangwa akudumu hadi July nane Rais MAGUFULI amesema mamlaka haitapoteza chochote ikiongeza muda ili watanzania wafike kwa wakatiwao kujifunza na kununua bidhaa.
Aidha rais amezuia azma ya mamlaka hiyo kujenga hoteli ya kimataifa ndani ya uwanja huo na badala yake ameagiza wajenge viwanda vya mfano.
Maonesho ya mwaka huu yameshirikisha nchi 26 na yana kauli mbiu ya "ukuzaji wa biashara kwa maendeleo ya viwanda" ambapo makundi mbalimbali yalioyoshiriki kutoka ndani na nje ya nchi yamezawadiwa ambapo Ujerumani imeibuka mshindi wa kwanza kwa washiriki kutoka nje waliofanya vizuri zaidi na Mshindi wa jumla ni chuo kikuu cha Dare s Salaam - Redio One !
========= ======== ======
HUKO MAREKANI NAKO: Rais wa Marekani Donald Trump anasema muda wa uvumilivu wa kimikakati kwa Korea Kaskazini umekamilika sasa. Katika hotuba ya pamoja na rais wa Korea Kusini Moon Jae, kwenye ikulu ya White house, Trump amesema kwamba vitisho vya Korea Kaskazini vinafaa kupata majibu ya kijasiri. Hata hivyo, Trump amesema ni muhimu kuwe na ushirikiano katika kugawana mzigo wa kuhakikisha usalama. Rais wa Korea Kusini amesema kwamba taifa lake litaweka marekebisho ya kiuslama na kujenga msingi dhabiti wa kujikinga. Rais Moon pia amesema ni muhimu kuendelea na majadiliano na viongozi wa Korea Kaskazini.
#Habari:Rais Magufuli ameiagiza TANTRADE kuongeza muda wa maonesho ya biashara ‘Sabasaba’.Soma zaidi -> https://t.co/clXwL5omUr pic.twitter.com/T6bLKXK7An— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) July 1, 2017
UWT yaunga mkono kauli ya Rais Dkt Magufuli kuwa mwanafunzi atakayepata mimba asiruhusiwe kuendelea na masomo baada ya kujifungua. pic.twitter.com/5AVHxShQgS— Swahili Times (@swahilitimes) July 1, 2017
Rais Magufuli akizindua maonesho ya Sabasaba asema hatowasikiliza watetezi wa mazingira ktk ujenzi wa Bwawa la umeme la Stiglers#JFLeo— Jamii Forums (@JamiiForums) July 1, 2017
"Mvua inyeshe, jua liwake, mradi wa Steigler’s Gorge lazima ukamilike ili taifa liwe na umeme wa kutosha na uhakika"- Rais Dkt Magufuli pic.twitter.com/NXmzSe49f5— Swahili Times (@swahilitimes) July 1, 2017
Mhe. Rais @MagufuliJP amefika katika banda letu la #SabaSaba na kujionea kazi zetu. Wewe unasubiri nini? Karibu. pic.twitter.com/7M4TBR1dTA— LHRC (@humanrightstz) July 1, 2017
8. JE WAJUA: Mwanamke wa Kwanza Mwafrika kushika nafasi ya juu Umoja wa Mataifa-UN ni Dr Asha-Rose Migiro anatoka Tanzania #ElimikaWikendi pic.twitter.com/HxESW4Yj57— Raymond C Maro (@RaymondCMaro) July 1, 2017
TAZAMA WATANZANIA WANAVYOPENDA KUZIMA MOTO: https://t.co/WtAvpWEbz5 via @YouTube— AzamTV (@azamtvtz) July 1, 2017
Trump: Tumechoka kuivumilia Korea Kaskazini https://t.co/cYoKMS2RhK— bbcswahili (@bbcswahili) July 1, 2017
Businessman plans Sh207bn industrial park in Eldoret https://t.co/c43XuvFeKX pic.twitter.com/I7T8NPN1sN— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) July 1, 2017
Chinese-built armed police academy handed over to Nepal https://t.co/f5a2DlOnsE pic.twitter.com/ApzezW9C4w— Global Times (@globaltimesnews) July 1, 2017
Science explains why you can't stop eating potato chips https://t.co/cw1pSWDSpS— TIME (@TIME) July 1, 2017
No comments:
Post a Comment