GUMZO: Basi unaambiwa hayo madeni ya Sahara Media 'usipime..'
KUYAHUSU MADENI SAHARA MEDIA: Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Sahara Media Group (SMG), inayomiliki kituo cha televisheni Star TV, Redio Free Africa (RFA) na Kiss FM anatarajiwa kupandishwa kizimbani kwa kushindwa kulipa wafanyakazi mishahara.
Mkurugenzi huyo atafikishwa katika Mahakama Kuu kanda ya Mwanza kwa kushindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wake 20 kiasi cha zaidi ya Sh milioni 100 ikiwa ni malimbikizo ya kipindi cha miezi 16 sawa na mwaka mmoja na nusu.
Mahakama hiyo inatarajiwa kusikiliza mashauri 15 yote yakiwa ya madai ya malimbikizo ya mishahara ambayo yatasikilizwa Julai 21, mwaka huu, ambayo tayari Tume ya Utumishi na Usuluhishi imeagiza wafanyakazi hao walipwe.
Julai 13 mwaka huu, kampuni hiyo, ilifungwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushindwa kulipa kodi ya Sh. 4.5 bilioni ambapo tayari wiki moja imekatika na taarifa zinadai hajalipa hata senti moja.
Mkurugenzi huyo atafikishwa katika Mahakama Kuu kanda ya Mwanza kwa kushindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wake 20 kiasi cha zaidi ya Sh milioni 100 ikiwa ni malimbikizo ya kipindi cha miezi 16 sawa na mwaka mmoja na nusu.
Mahakama hiyo inatarajiwa kusikiliza mashauri 15 yote yakiwa ya madai ya malimbikizo ya mishahara ambayo yatasikilizwa Julai 21, mwaka huu, ambayo tayari Tume ya Utumishi na Usuluhishi imeagiza wafanyakazi hao walipwe.
Julai 13 mwaka huu, kampuni hiyo, ilifungwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushindwa kulipa kodi ya Sh. 4.5 bilioni ambapo tayari wiki moja imekatika na taarifa zinadai hajalipa hata senti moja.
Katika hatua hiyo kampuni ilipewa siku 14 (wiki mbili) kuanzia Julai 13 mwaka huu, iwe imelipa kiasi hicho cha fedha na kama haitafanya hivyo majengo ya kampuni hiyo yanaweza kupigwa mnada ili kufidia deni hilo ambalo ni malimbikizo ya kodi ya kipindi cha awali huku kipindi cha miaka miwili 2016/17.
Mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo (jina linahifadhiwa) aliueleza kuwa wamelazimika kwenda Mahakamani baada ya Kampuni kushindwa kutekeleza makubaliano yao, yaliotolewa na Tume ya Utumishi na Usuluhishi (CMA).
Alieleza kwamba wanataka kuiomba mahakama kuagiza mara moja walipwe fedha zao mara moja au la Mahakama iangize wauze asset ili walipwe stahiki zao.
"Mwajiri wetu amekuwa akitoa ahadi bila kutekeleza, ndiyo maana hata kampuni yake ilifungiwa na TRA baada ya kupewa mwaka mmoja awe amelipa madeni yake lakini alishindwa na akafungiwa,” amesema mfanyakazi huyo.
Pia amedai kumekuwa na udanganyifu mkubwa unaofanywa na mwajiri kwa kutokupeleka michango kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii PPF/NSSF na hata inayopelekwa imekuwa na taarifa za uongo ambayo michango inayowasilishwa hailingani na mishahara ya wafanyakazi.
Taarifa nyingine kutoka ndani ya kampuni hiyo zinaeleza kwamba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeipunguzia masharti kampuni ya Sahara ya kulipa deni lake kwa awamu kwa kuanza na Bil. 2 badala ya kulipa deni la Sh. 4.5 bilioni kwa mkupuo.. jambo ambalo pia limeshindikana..
Kwa upande wake, Mgurugenzi huyo amekiri kuwepo na wafanyakazi wanaomdai lakini alidai hawazidi wawili huku akishindwa kuweka wazi kiasi wanachomdai.
Mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo (jina linahifadhiwa) aliueleza kuwa wamelazimika kwenda Mahakamani baada ya Kampuni kushindwa kutekeleza makubaliano yao, yaliotolewa na Tume ya Utumishi na Usuluhishi (CMA).
Alieleza kwamba wanataka kuiomba mahakama kuagiza mara moja walipwe fedha zao mara moja au la Mahakama iangize wauze asset ili walipwe stahiki zao.
"Mwajiri wetu amekuwa akitoa ahadi bila kutekeleza, ndiyo maana hata kampuni yake ilifungiwa na TRA baada ya kupewa mwaka mmoja awe amelipa madeni yake lakini alishindwa na akafungiwa,” amesema mfanyakazi huyo.
Pia amedai kumekuwa na udanganyifu mkubwa unaofanywa na mwajiri kwa kutokupeleka michango kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii PPF/NSSF na hata inayopelekwa imekuwa na taarifa za uongo ambayo michango inayowasilishwa hailingani na mishahara ya wafanyakazi.
Taarifa nyingine kutoka ndani ya kampuni hiyo zinaeleza kwamba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeipunguzia masharti kampuni ya Sahara ya kulipa deni lake kwa awamu kwa kuanza na Bil. 2 badala ya kulipa deni la Sh. 4.5 bilioni kwa mkupuo.. jambo ambalo pia limeshindikana..
Kwa upande wake, Mgurugenzi huyo amekiri kuwepo na wafanyakazi wanaomdai lakini alidai hawazidi wawili huku akishindwa kuweka wazi kiasi wanachomdai.
Here's a recap of day one in Beijing, with Carlo Cudicini... pic.twitter.com/re3A0PEc6N— Chelsea FC (@ChelseaFC) July 20, 2017
"Wataendelea kuwasumbua polisi wetu, tutaendelea kukamatwa kwa sababu wameshindwa kutekeleza waliyoyaahidi kwa wananchi" KM @Vicent_mashinji pic.twitter.com/o2pkpweayr— CHADEMA MEDIA (@ChademaMedia) July 20, 2017
Delivering our change message to the people of Kitui County #RailonzoNaneNane https://t.co/QWLIiz5HD7— Raila Odinga (@RailaOdinga) July 20, 2017
Himid: Stars itashinda Rwanda https://t.co/Bo8GB5sdJN pic.twitter.com/ctGKGqiv1o— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 20, 2017
THINKING ALOUD: Clamping down on media will tarnish Magufuli’s legacyhttps://t.co/mDxWCrlslC via @TheCitizenTZ— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 20, 2017
Aids deaths halve as more get drugs https://t.co/Fi2SK8Vl2q @jomwalwega @subinukta @mwelentuli @IreneiKiria— zuhura yunus (@venusnyota) July 20, 2017
Hii ndio video ya Gigy Money akitingisha mauno ambayo inazingua watu mitandaonihttps://t.co/OrGBZkkRPW pic.twitter.com/sLfSFHHDXR— Ghafla Tanzania (@GhaflaTanzania) July 20, 2017
Listen to exclusive audio from The Times’s interview with President Trump https://t.co/64qj7fX8k7— The New York Times (@nytimes) July 20, 2017
VIDEO: A Texas woman gets pulled over, but instead of getting a ticket, she gets a marriage proposal. https://t.co/0IdmsTTUVI #odd— AP Oddities (@AP_Oddities) July 20, 2017
Nokia 8 Appears Online For Possible July 20th Reveal https://t.co/uGCTXy1b9h #Android #Google #news pic.twitter.com/gckAape4Dm— Android Headlines (@Androidheadline) July 20, 2017
MANAGING TAX RISK:What you didn’t know about tax reformshttps://t.co/fdsKfzeo5q via @TheCitizenTZ— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 20, 2017
No comments:
Post a Comment