Magazeti ya Leo 31/07/2017: Masaa 48 ya CHADEMA 'kulipua bomu' zito.. Waziri Tizeba 'mikononi' mwa ACT-Wazalendo,.. Siri ya kigogo wa ACACIA kudakwa Airport hii hapa.. na hatimaye 'kinara wa mauaji' ya watu 17 apandishwa kizimbani.. #share

Majaliwa 'ang'aka' Tanzania si lango la biashara ya dawa za kulevya,.. Lipumba vs Maalim Seif.. Waasisi wasema Seif ni 'mkono wa CHADEMA'.. Rais Mugabe awasemea 'mbovu' wabaya wake.. asema 'sifi leo wala kesho'.. 



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search