TOP NEWS: Furaha ya JPM ikakamilika hapa..Mama Samia kaenda Addis.. Diamond Platnumz aendelea 'kuwamwaga machozi' Waganda.. #share CHADEMA yataka viongozi wenye 'uchu' wa kuhama waharakishe.. Trump uso kwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, anatarajiwa kuwasili Wilayani Sengerema kuzindua Mradi wa Maji ulioanza kutekelezwa tangu mwaka 2014 kwa gharama ya Sh23 bilioni utawanufaisha zaidi ya wakazi wa wilaya hiyo zaidi ya 13,000.
Matukio tumekukusanyia 'Top news' zinazojiri Nchini penu mda huu vikiambatana na vionjo kadhaa vya Burudani..
Fuatana nasi kupitia uzi huu kila baada ya nusu saa, tutakujuza hatua kwa hatua..
Mhandisi wa Maji Wilaya ya Sengerema, Nikas Ligombi alisema mradi huo uliofadhiliwa na Benki ya Afrika umekamilika kwa asilima 100 na utakapozinduliwa rasmi tatizo la maji katika mji wa Sengerema litakuwa limepatiwa ufumbuzi.
“Lita za ujazo 150,000 zitakuwa zinasukumwa kila siku kutoka kwenye chanzo cha maji kwenda kwenye matanki ya kusambaza mitaani,” alisema Ligombi.
Mkuregenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Sengerema, Magesa Mafuru alisema ni fahari kubwa kukamlika kwa maradi huu ambao utamaliza matatizo ya maji yaliyokuwa yakiukabili mji huo na kuwataka wananchi kuutunza na kuuthamini ili udumu kwa muda mrefu.
Mmoja wa wakazi wa mjini humo, Jumanne Kashiba alisema baada ya mradi huu kukamilika tatizo la maji mjini hapo lilokuwa likiwakabili litakoma na kuipongeza serikali kwa jitihada hizo - Mwananchi Online..
Matukio tumekukusanyia 'Top news' zinazojiri Nchini penu mda huu vikiambatana na vionjo kadhaa vya Burudani..
Fuatana nasi kupitia uzi huu kila baada ya nusu saa, tutakujuza hatua kwa hatua..
Rais Dkt @MagufuliJP akipiga tumba mara baada ya kuweka jiwe la msingi mradi wa uboreshaji wa bandari ya Dar Es Salaam. pic.twitter.com/NjF93d6w6J— Swahili Times (@swahilitimes) July 2, 2017
“The risk is we’ll end up with an infection-free corpse.” @MagufuliJP's graft war threatens Tanzania economy @FT https://t.co/AoNOtjY6lQ— John Aglionby (@johnaglionby) July 3, 2017
CHADEMA Arusha kimewataka viongozi wake wanaotaka kuhama chama waondoke haraka kwani kuhama kwao hakutaathiri chama hicho- HT @ MWANANCHI pic.twitter.com/ocLetQ7lOl— Swahili Times (@swahilitimes) July 3, 2017
Rais @MagufuliJP kesho anatarajiwa kuwepo wilayani #Sengerema kuzindua mradi wa maji katika Kijiji cha #Nyamazugo utakaonufaisha watu 13,000 pic.twitter.com/PWu69fjRqH— Global Publishers (@GlobalHabari) July 3, 2017
VP Samia Suluhu Hassan yupo nchini Ethiopia ambapo anamuwakilisha Rais katika Mkutano wa 29 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU Julai 3&4. pic.twitter.com/728mBkr1HB— Swahili Times (@swahilitimes) July 3, 2017
Goli la Taifa Stars lililofungwa na Elias Maguli pamoja na mahojiano aliyofanya baada ya kuibuka mchezaji bora wa dhidi ya Bafana Bafana. pic.twitter.com/nESzgiL8JL— Swahili Times (@swahilitimes) July 2, 2017
Mwaka 2014: Ufisadi wa bilion 450: Dili ya Treni mpya Airport kwenda Mjini | @JamiiForums | #WakatiTunamsakaMchawi https://t.co/B7nSwWBKsO— Sajjo L.M. 🤦🏾♂️ (@Sajjo) July 3, 2017
— Masoud Kipanya (@masoudkipanya) July 3, 2017
#DewjiBlogNews: Ujerumani imetwaa Kombe la Mabara baada ya kuifunga Chile goli 1-0, goli pekee la ushindi limefungwa na Lars Stindl 21’. pic.twitter.com/Puwq0P9hIj— MO Dewji Blog (@DewjiBlog) July 3, 2017
Muuza Karanga wa Tandale @diamondplatnumz na hasira za kwenye stage ya Fiesta Rwanda. Jana usiku pic.twitter.com/wvHTJDOLyx— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) July 3, 2017
— The Standard Digital (@StandardKenya) July 3, 2017
July 3rd – 2017 Presidential Politics – Trump Administration Day #165 https://t.co/GARYugNur0— EagleStar.NET (@EagleStarNET) July 3, 2017
Rais Magufuli kesho anatarajiwa kuwepo wilayani Sengerema atakapozindua mradi wa maji katika Kijiji cha Nyamazugo utakaonufaisha watu 13,000 pic.twitter.com/COx7305t94— Swahili Times (@swahilitimes) July 3, 2017
TIRA yapanga kuanzisha mafunzo kuhusu bima katika shule za msingi na sekondari kwa lengo la kuongeza uelewa kwa jamii- HT @ THE CITIZEN pic.twitter.com/OgjHO5jQ7Y— Swahili Times (@swahilitimes) July 3, 2017
Why President Kenyatta would not win if elections were called todayhttps://t.co/FZtIfiTvyM via @UreportKe pic.twitter.com/0pZOklV5hM— The Standard Digital (@StandardKenya) July 3, 2017
Timu ya Taifa ya Ujerumani imetangazwa rasmi kuwa mabingwa wapya wa kombe la Mabara 2017, Baada ya kuwafunga timu ya Taifa ya Chile bao 1-0. pic.twitter.com/sMs86HwciL— Dimba Newspaper (@DimbaNewspaper) July 3, 2017
Tulipata fursa ya kumkaribisha Raisi Dr. John Pombe Magufuli katika banda letu alipotembelea viwanja vya maonyesho ya Sabasaba. pic.twitter.com/iyvx61AOXF— CRDB Bank Plc (@CRDBBankPlc) July 3, 2017
Kajala afunguka kueleza kilichomfanya kujihusisha na utumiaji wa bangihttps://t.co/0AYeSIkSS5 pic.twitter.com/iWClb2ThiH— Ghafla Tanzania (@GhaflaTanzania) July 3, 2017
Six reasons why beautiful women are annoying https://t.co/BsYfLGnMvT via @UreportKe pic.twitter.com/qES2z7GuqJ— The Standard Digital (@StandardKenya) July 3, 2017
#HABARI Upanuzi wa Bandari Dar es Salaam, Rais @MagufuliJP aweka jiwe la msingi na kuzindua ujenzi >>https://t.co/wMgHixCKpZ pic.twitter.com/go1E0Y778v— Channel ten (@ChanneltenTZ) July 3, 2017
Mohamed Ali set to prove he won in the ODM Nyali Constituency nominations https://t.co/Wj1Fd1xCmq via @UreportKe— The Standard Digital (@StandardKenya) July 3, 2017
TAARIFA: Utaratibu wa kutoa fomu za kuomba kugombea uongozi ngazi ya Wilaya , Mkoa na Taifa. pic.twitter.com/Bf46AJ7Vsu— Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) July 3, 2017
INDONESIA: Watu 8 wafariki baada ya kuanguka kwa Helikopta iliyokuwa ikifanya uokoaji ktk eneo lililokumbwa na mlipuko wa Volkano#JFLeo pic.twitter.com/3MHAVtqLc7— Jamii Forums (@JamiiForums) July 3, 2017
— Donald J. Trump (@realDonaldTrump) July 2, 2017
Bunge litapewa nafasi ya kuipitia Mikataba ya Madini @zittokabwe @millardayo @swahilitimes @TheCitizenTZ @mpologomy @azamtvtz @AdoShaibu pic.twitter.com/dY07jXi82m— Taifa Kwanza ✋ (@ACTwazalendo) July 2, 2017
Una demu ametoga masikio, ametoga pua, ametoga ulimi mpaka kitovu, na zaidi amejichubua, Halafu unasimama unasema hujawahi kumuona shetani?— Yericko Nyerere (@YerickoNyerere_) July 3, 2017
Vijana wajitokeza kuwania nafasi ya Uenyekiti UVCCM pichani @gipsongeorge45 akikabidhiwa fomu yake siku ya leo. pic.twitter.com/2XD1h2CR6H— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) July 3, 2017
Govt defends Property Tax measures https://t.co/OVYmbQ8AxA via @TheCitizenTZ— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 3, 2017
No comments:
Post a Comment