Top news: JPM Kuzindua Upanuzi wa Bandari Kesho; Picha za Staa Lionel Messi Alipopata jiko jana.. Ndugai nae 'motooo'.. #share Nkurunziza nae anena kwa 'kirundi'
Ndugu yangu msomaji, usipitwe na matukio muhimu yaliyojiri usiku wa kuamkia leo.. fuatana na matukio360 ikuhabarishe hatua kwa hatua..
Spika wa Bunge Mh Job Ndugai ametoa onyo kwa baadhi ya wabunge ambao wamekuwa wakitumia lugha zisizofaa bungeni na kuliita bunge kuwa ni dhaifu.
Spika wa Bunge Mh Job Ndugai ametoa onyo kwa baadhi ya wabunge ambao wamekuwa wakitumia lugha zisizofaa bungeni na kuliita bunge kuwa ni dhaifu.
Spika wa Bunge Mh Job Ndugai amesisitiza kuwachukulia hatua wabunge watakaokwenda kinyume na kanuni na taratibu za Bunge na kiti cha Spika likiwemo la kutumia lugha zisizo na staha katika Bunge.
Kamati ya pamoja ya Bunge inayojumuisha kamati za bunge nne yaani Kamati ya Madini,Kamati ya Katiba na sheria,Kamati ya sheria ndogo na kamati ya ardhi maliasili na mazingira imepokea taarifa ya miswada ya sheria mitatu ya mikataba ya rasilimali za nchi kutoka serikalini kupitia Waziri wa Katiba na sheria Prof Palamagamba Kabudi watakayoijadili na kuwasilisha bungeni baadae.
Miongoni mwa yatakayokuwamo katika miswada hiyo ni pamoja na kuboresha ushiriki na umiliki wa wananchi katika rasilimali za nchi lakini pia bunge kupewa nguvu ya kupitia mikataba ya madini kabla ya kusainiwa - ITV
Rais Dkt @MagufuliJP Julai 2, 2017 anatarajiwa kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi na upanuzi wa Bandari ya Dar saa 4 asubuhi. pic.twitter.com/UVgnaLm5FU— Swahili Times (@swahilitimes) July 1, 2017
Burundi, warapfunywe ntiwapfuye, warahabishijwe ntiwahababuka. Bavukanyi, ndabipfurije Umunsi mukuru mwiza. Ineza izokwama itsinda inabi.— Pierre Nkurunziza (@pnkurunziza) July 1, 2017
#DewjiBlogNews Staa wa soka wa Argentina na klabu ya Barcelona, Lionel Messi amefunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu, Antonella Roccuzzo pic.twitter.com/oy9s7QkfRn— MO Dewji Blog (@DewjiBlog) July 1, 2017
#PICHA 23: Mastaa waliohudhuria katika harusi ya Lionel Messi >>> https://t.co/EUjGvIMQN5 pic.twitter.com/fPf2gvWp10— millard ayo (@millardayo) July 1, 2017
Lissu anusa kufutwa kwa TLS baada ya kupendekezwa kuanzishwa Bodi ya Usajili wa Mawakili itakayokuwa chini ya Wizara ya Sheria- MWANANCHI pic.twitter.com/SBRxpmjZvG— Swahili Times (@swahilitimes) July 1, 2017
RC K'njaro, Anna Mghwira amethibitisha kuwa, baadhi ya malori yaliyokamatwa na shehena ya mahindi yametoka Zambia na Malawi- HT @ MWANANCHI pic.twitter.com/O3gHOG7zXE— Swahili Times (@swahilitimes) July 1, 2017
I’ve had such an amazing time performing in Asia over these last few weeks!! One final stop in Tel Aviv on Monday!! pic.twitter.com/vd5QfjipMC— Britney Spears (@britneyspears) July 1, 2017
#YaliyojiriDodomaJana Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akitoa mchango wake katika kamati zinazojadili... https://t.co/oLAxT4qV10— CloudsMediaLive (@CloudsMediaLive) July 1, 2017
Ujumbe wa FIFA untarajiwa kutua nchini wiki ijayo kuchunguza kama kanuni zilikiukwa serikali inavyoshughulikia suala la TFF- HT @ MWANANCHI pic.twitter.com/PxJe4eUwnb— Swahili Times (@swahilitimes) July 1, 2017
Raila Odinga: Jubilee leaders took Sh130 billion SGR bribehttps://t.co/G9n2ZhHhFp— The Standard Digital (@StandardKenya) July 1, 2017
^EK pic.twitter.com/LRvGKv7uHD
Norway imeahidi kuisaidia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dola 10.5m (zaidi ya Tsh. 23.2b) kwa ajili ya kuboresha mamlaka hiyo. #MWANANCHI.— millard ayo (@millardayo) July 1, 2017
No comments:
Post a Comment