Magazeti ya Leo 04/12/2017:  Soma magazeti na matukio360.. #share

MAAJABU: Mtoto wa kike wa miaka 7  DAR agundulika wa kiume.. Muhimbili yaendeleza Historia: MOI yafanya upasuaji wa kwanza wa Ubongo.. Nyuma ya pazia Mbunge mwengine CUF aachia ngazi.. Joshua Nassari amzika mbwa wake kwa heshima zote.. Dkt. Kigwangala afichua mapya shehena ya magogo.. Mwanafunzi Moshi azikwa upya..

Mo Dewji aanika mikakati mizito Simba.. sasa kusajili mchezaji yoyote Africa.. Yanga wajibu mapigo kisomi.. na kichapo chamvuruga Wenger aishukia safu yake ya ulinzi..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search