Lowassa amjulia hali Tundu Lissu Hospitalini Jijini Nairobi.
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amemtembelea Mbunge wa Singida Mashariki, Mwanasheria wa CHADEMA na Rais wa TLS Mhe.Tundu Lissu hospitalini jijini Nairobi leo hii ili kumjulia hali.
Edward Lowassa baada ya kufika Nairobi nchini Kenya na kuonana na Tundu Lissu wodini, pia alipata wasaa wa kukutana na kubadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe, Mke wa Tundu Lissu Wakili msomi Bi.Alicia Lissu na Dereva wa Mhe.Lissu Bw.Adam Simon.
Aidha baada ya mazungumzo hayo ya kina, Lowassa aliandika maneno haya "Earlier today I paid a visit at Nairobi Hospital to see our Mp, President Of TLS and dear friend Tundu Lissu. He is recovering well. It is Sad times for Tanzania. Let us all keep praying", kwenye ukrasa wake wa Twitter.
Edward Lowassa baada ya kufika Nairobi nchini Kenya na kuonana na Tundu Lissu wodini, pia alipata wasaa wa kukutana na kubadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe, Mke wa Tundu Lissu Wakili msomi Bi.Alicia Lissu na Dereva wa Mhe.Lissu Bw.Adam Simon.
Aidha baada ya mazungumzo hayo ya kina, Lowassa aliandika maneno haya "Earlier today I paid a visit at Nairobi Hospital to see our Mp, President Of TLS and dear friend Tundu Lissu. He is recovering well. It is Sad times for Tanzania. Let us all keep praying", kwenye ukrasa wake wa Twitter.




No comments:
Post a Comment