UPDATES: Lissu amesafirishwa kwa ndege maalumu kuelekea Nairobi, Kenya kwa matibabu zaidi..#share

MBUNGE wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amaesafirishwa kuelekea Nairobi Nchini Kenya kwa ajili ya matibabu zaidi.


Ndege Iliyombeba Tundu lissu kuelekea Nairobi Nchini Kena ikitokea mjini Dodoma kwa ajili ya matibabu zaidi.

Lissu alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya mkoa wa Dodoma baada ya kupigwa kwa risasi na watu wasiojulikana.

Taarifa zinaeleza kuwa hadi sasa anaendelea vizuri.




Na Mwandishi Wetu

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search