UPDATES: Ona Mwonekano halisi wa gari la Lissu likiwa limechakazwa kwa risasi takribani 20..#share


MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Rais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) leo mapema mchana amepigwa risasi kadhaa na watu wasiojulikana akiwa ndani ya gari nyumbani kwake mjini Dodoma.

Na huu ndiyo mwonekano wa gari lake baada ya kupigwa risasi likionekana likiwa na matundu matundu ya risasi.




Na Mwandishi Wetu

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search