BoT yaipa serikali bilioni 300...soma habari kamili na matukio360..#share

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam

BODI ya Wakurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeidhinisha gawio la sh. bilioni 300 kwa serikali kutokana na faida iliyopata kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search