Diallo ambwaga Meck Sadick uenyekiti CCM Mwanza...soma habari kamili na matukio360..#share

Na mwandishi wetu

ANTHONY  Mwandu Diallo ametetea tena kiti chake cha uenyekiti wa CCM mkoani Mwanza  kwa kumshinda mshindani wake aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Meck  Sadick.


Anthony Diallo

Katika uchaguzi uliofanyika hii leo jijini Mwanza Diallo ameshinda  kwa kupata jumla ya kura 555 dhidi ya Sadick ambaye pia kabla ya kustaafu alikuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro aliyepata kura 520.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search