IGP Sirro awataka polisi kuwa 'nga'ng'ari'...soma habari kamili na matukio360..#share



Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akiaga vingozi wa Jeshi la Polisi mkoani Tabora baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ya siku mbili mkoani humo.  

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (katikati) kushoto kwake ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora SACP, Willprod Mtafugwa wakiwa katika  picha ya pamoja na kikosi cha kupambana wahalifu Mkoa wa Tabora.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro katikati akiwa katika picha ya pamoja na Askari wa kike wa Jeshi la Polisi kikosi cha kupambana na uhalifu Mkoa  wa Tabora. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wa tatu kutoka kushoto akiangalia  mmoja wa askari wa Jeshi la Polisi akiwa katika mazoezi ya utayari kupita juu ya kamba mkoani Tabora jana. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wa tatu toka kulia jana asubuhi alishiriki  mazoezi ya utayari na kuwatia hamasa Askari wa  Mkoa wa Tabora,  katika ziara yake ya siku moja mkoani humo, hatua hiyo ni kutokana na kuwataka askari wa Jeshi la Polisi kuwa na utayari wakati wote .

Picha na Jeshi la Polisi

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search