Magazeti ya Leo 13/12/2017: Soma magazeti na matukio360.. #share

JPM atangaza 'kiama' kwa wavaao nusu uchi.. ambana kigogo Jumuiya ya wazazi.. Kinana afuta mchujo wa Ubunge jimboni kwa Nyalandu.. Mbowe asema NEC inatukwepa.. baada ya kuhojiwa Uhamiaji; Askofu afanya maombi.. Yanga kukwaana na TP Mazembe.. Kwasi apewa jezi Simba..


























About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search