Magufuli apeleka fomu zake sekretarieti ya maadili...soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
RAIS John Magufuli leo amewasilisha fomu zake za tamko la rasilimali na madeni kwa viongozi wa umma katika ofisi ya sekretariati ya maadili ya umma jijini Dar es salaam.
Hatua yake hiyo inafuatia jana sekretarieti hiyo kutoa siku tatu hadi Desemba 30, 2017 kwa viongozi wa umma kukamilisha zoezi hilo na kwamba watakaoshindwa watachukuliwa hatua za kisheria
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Kamishina wa Maadili Jaji Mstaafu Haroild Nsekela mara baada ya kuwasilisha fomu zake za tamko la Rasilimali na madeni kwa Viongozi wa Umma Katika Ofisi Za Sekretarieti Ya Maadili Ya Viongozi Wa Umma Jijini Dar Es Salaam Disemba 28,2017.(Bofya blog kwa habarin na picha)
RAIS John Magufuli leo amewasilisha fomu zake za tamko la rasilimali na madeni kwa viongozi wa umma katika ofisi ya sekretariati ya maadili ya umma jijini Dar es salaam.
Hatua yake hiyo inafuatia jana sekretarieti hiyo kutoa siku tatu hadi Desemba 30, 2017 kwa viongozi wa umma kukamilisha zoezi hilo na kwamba watakaoshindwa watachukuliwa hatua za kisheria
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Kamishina wa Maadili Jaji Mstaafu Haroild Nsekela mara baada ya kuwasilisha fomu zake za tamko la Rasilimali na madeni kwa Viongozi wa Umma Katika Ofisi Za Sekretarieti Ya Maadili Ya Viongozi Wa Umma Jijini Dar Es Salaam Disemba 28,2017.(Bofya blog kwa habarin na picha)
No comments:
Post a Comment