Mwili wa mwandishi Mayage waagwa...soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
WAANDISHI wa habari, wadau wa habari, ndugu, jamaa na marafiki wamejitokeza kuuaga mbili wa mwandishi wa habari, Mayage S. Mayage nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
WAANDISHI wa habari, wadau wa habari, ndugu, jamaa na marafiki wamejitokeza kuuaga mbili wa mwandishi wa habari, Mayage S. Mayage nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Mchungaji akiongoza misa ya kuombea mwili wa marehemu Mayage S. Mayage nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanafamilia wa marehemu, ndugu na jamaa wakifuatilia ibada ya kuagwa kwa Mayage
Marehemu Mayage alifariki Dunia
Jumatatu katika Hospitali ya Misheni ya Mbweni alipokuwa amelazwa kwa ajili ya
matibabu ya ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB).
No comments:
Post a Comment