Magufuli asaini 61 kutonyongwa, Magereza wazalisha viatu vya askari wake, ...soma habari kamili na matukio360...#share

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam
RAIS John Magufuli leo ametia saini nyaraka za msamaha alioutoa jana kwa wafungwa 61 waliokuwa wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Pia jeshi la Magereza  limeanza kutengeneza na kuzalisha viatu kwa ajili ya askari wake badala ya kuagiza kutoka nje ya nchi.

Kufuatia hatua hiyo rais Magufuli amelipongeza . Jeshi hilo linazalisha jozi 150 za viatu kwa siku katika kiwanda chake cha Karanga kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro.

Jeshi hilo linashirikiana na  na mfuko wa hifadhi wa jamii wa PPF kwa lengo la kukiboresha kiwanda hicho ili kufikia uzalishaji wa jozi 450 kwa siku.



Rais John Magufuli leo ametia saini nyaraka za msamaha alioutoa jana kwa wafungwa 61 waliokuwa wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search