Startimes kuonyesha'live' kombe la Dunia...soma habari kamili na matukio360..#share
Na Mwandishi Wetu
WAPENZI wa mpira wa miguu nchini jana walishuhudia matangazo
ya moja kwa moja ya droo ya upangwaji wa hatua ya makundi ya kombe la dunia yatakayofanyika
nchini Urusi mwaka 2018.
Mmoja wa wapenzi wa mpira wa miguu akipokea zawadi ya king'amuzi cha StarTimes kutoka kwa meneja uhusiano wa StarTimes Juma Suluhu baada ya kujibu swali linalohusu kombe la dunia katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Katika hafla hiyo StarTimes
walionyesha moja kwa moja (mbashara) droo ya upangaji wa makundi ya Kombe la
Dunia ambayo ilikuwa ikifanyika jijini Moscow, Urusi.
Akizungumza
katika hafla hiyo Meneja Uhusiano wa StarTimes Juma Suluhu alisema, “Tumejikita
katika kuhakikisha kila mtanzania anaangalia taarifa, burudani na maudhui yote
muhimu duniani ndio maana tunawwaletea kombe la dunia mpaka nyumbani. Hafla hii
ya leo ni kielelezo tosha cha ninayoyasema”
“Sio
rahisi kwa mtu kudhani kwamba watanzania wanaweza kuangalia hata droo ya kombe
la dunia na kombe la dunia lenyewe kwa gharama nafuu kiasi hiki. Lakini ndio
ukweli Kwamba StarTimes ndio mtoa huduma anayeelewa zaidi hali ya uchumi na
kujaribu kuendana nayo”. aliongeza Juma.
Mbali
na ushiriakiano huu wa StarTimes na Princess Bet kuonyesha mbashara droo ya
Kombe la Dunia, StarTimes wataonyesha moja kwa moja matangazo ya michuano hiyo
kutokea nchini Urusi.
"Kwa sasa tunayo ofa ya Krismasi kwa wateja wetu wote, tumepunguza bei ya king’amuzi chetu cha antenna kutoka 47,000 sasa kinapatikana kwa bei ya pungusho Tsh 34,000, yaani Kombe la Dunia kwa 34,000 Kweli? Pia tumepunguza bei ya Dikoda ya combo ambayo awali ilikuwa ikipatikana kwa Tsh 86,000 sasa itapatikana kwa 78,000 pekee kwa ambapo utapatiwa pamoja na Dish na kifurushi cha Mwezi mmoja Bure”.
“Burudani yote ya Krismasi, kombe la Dunia na mengine mengi kwa 34,000 pekee kwa sababu sisi ndio wafalme wa Burudani za Familia, msimu wa kukaa na familia utapendeza zaidi na StarTimes”, alisema.
"Kwa sasa tunayo ofa ya Krismasi kwa wateja wetu wote, tumepunguza bei ya king’amuzi chetu cha antenna kutoka 47,000 sasa kinapatikana kwa bei ya pungusho Tsh 34,000, yaani Kombe la Dunia kwa 34,000 Kweli? Pia tumepunguza bei ya Dikoda ya combo ambayo awali ilikuwa ikipatikana kwa Tsh 86,000 sasa itapatikana kwa 78,000 pekee kwa ambapo utapatiwa pamoja na Dish na kifurushi cha Mwezi mmoja Bure”.
“Burudani yote ya Krismasi, kombe la Dunia na mengine mengi kwa 34,000 pekee kwa sababu sisi ndio wafalme wa Burudani za Familia, msimu wa kukaa na familia utapendeza zaidi na StarTimes”, alisema.
Makundi
hayo ni kima yanavyoonekana
Kundi A: Urusi, Saudi Arabia, Misri, Uruguay
Kundi B: Ureno, Uhispania, Morocco, Iran
Kundi C: Ufaransa, Australia, Peru, Denmark
Kundi D: Argentina, Croatia, Iceland, Nigeria
Kundi E: Brazil, Uswizi, Costa Rica, Serbia
Kundi F: Ujerumani , Mexico, Sweden, Korea Kusini
Kundi G: Ubelgiji , Panama, Tunisia, England
Kundi H: Poland, Senegal, Colombia, Japan.
Kundi B: Ureno, Uhispania, Morocco, Iran
Kundi C: Ufaransa, Australia, Peru, Denmark
Kundi D: Argentina, Croatia, Iceland, Nigeria
Kundi E: Brazil, Uswizi, Costa Rica, Serbia
Kundi F: Ujerumani , Mexico, Sweden, Korea Kusini
Kundi G: Ubelgiji , Panama, Tunisia, England
Kundi H: Poland, Senegal, Colombia, Japan.
No comments:
Post a Comment