Tundu Lissu asimama....soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu
HALI ya kiafya ya mwanasheria mkuu wa chama cha Chadema, Tundu Lissu inaendelea kuimarika na sasa ameanza kusimama kwa mguu mmoja akitumia msaada wa wahudumu wa hospitali anayotibiwa nchini Kenya.
HALI ya kiafya ya mwanasheria mkuu wa chama cha Chadema, Tundu Lissu inaendelea kuimarika na sasa ameanza kusimama kwa mguu mmoja akitumia msaada wa wahudumu wa hospitali anayotibiwa nchini Kenya.
Lissu ambae pia ni mbunge yupo katika Hospital ya Nairobi nchini Kenya anakoendelea na matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi mwezi Septemba, 2017
No comments:
Post a Comment