Facebook kudhibiti habari za kizushi ...soma habari kamili na matukio 360...#share
Na mashirika ya kimataifa
KAMPUNI ya facebook imetangaza kuwa imebadili kampuni inayoipa habari, ili kukabiliana na kile ilichotaja kama habari za uzushi na za kupotosha.
Mark Zuckerberg
Afisa mkuu mtendaji wa kampuni hiyo ya facebook, Mark Zuckerberg, amesema mtandao wake sasa utakuwa ukiwauliza watumiaji wake ni vyanzo vipi vya habari wanaamini zaidi na hivyo kuwapa nafasi ya kwanza.
Waandishi wa habari wanasema kuwa kampuni hiyo ya facebook ambayo ina zaidi ya watumiaji bilioni mbili, inataka kusitisha usambazaji wa habari bandia na propaganda, baada ya mahusiano yaliyotajwa na malumbano na mashirika ambayo yana misimamo mikali ya kisiasa.
Mapema mwezi huu, Mark Zuckerberg, alitangaza mabadiliko ya vyanzo vya habari ya kampuni hiyo, iliyonuia kuhimiza ujumbe zinazotumwa na familia na marafiki badala ya mashirika ya kibiashara na bidhaa.
KAMPUNI ya facebook imetangaza kuwa imebadili kampuni inayoipa habari, ili kukabiliana na kile ilichotaja kama habari za uzushi na za kupotosha.
Mark Zuckerberg
Afisa mkuu mtendaji wa kampuni hiyo ya facebook, Mark Zuckerberg, amesema mtandao wake sasa utakuwa ukiwauliza watumiaji wake ni vyanzo vipi vya habari wanaamini zaidi na hivyo kuwapa nafasi ya kwanza.
Waandishi wa habari wanasema kuwa kampuni hiyo ya facebook ambayo ina zaidi ya watumiaji bilioni mbili, inataka kusitisha usambazaji wa habari bandia na propaganda, baada ya mahusiano yaliyotajwa na malumbano na mashirika ambayo yana misimamo mikali ya kisiasa.
Mapema mwezi huu, Mark Zuckerberg, alitangaza mabadiliko ya vyanzo vya habari ya kampuni hiyo, iliyonuia kuhimiza ujumbe zinazotumwa na familia na marafiki badala ya mashirika ya kibiashara na bidhaa.
No comments:
Post a Comment