Gavana Benno Ndulu aaga rasmi...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam

GAVANA wa Benki Kuu (BoT) Profesa Benno Ndulu leo amekutana na rais John Magufuli kumuaga rasmi.
Rais John Magufuli akiagana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anayemaliza muda wake Profesa Benno Ndulu Ikulu jijini Dar es Salaam

Profesa Ndulu anastaafu baada ya kuitumikia BoT kwa  miaka 10.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search