Magufuli: Bilioni 200 kulipa madeni ya ndani...soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
RAIS John Magufuli amesema mwezi February, 2018 serikali itaanza kulipa madeni ya ndani yaliyohakikiwa na kwamba bilioni 200 zimetengwa kwa ajili hiyo.
Rais John Magufuli
"Nimepanga kuanzia mwezi ujao, kwa wale wenye madeni ya ndani yaliyohakikiwa watalipwa madeni yao. Nimetenga sh bilioni 200 kulipa," amesema rais Magufuli leo jijini Dar es salaam
RAIS John Magufuli amesema mwezi February, 2018 serikali itaanza kulipa madeni ya ndani yaliyohakikiwa na kwamba bilioni 200 zimetengwa kwa ajili hiyo.
Rais John Magufuli
"Nimepanga kuanzia mwezi ujao, kwa wale wenye madeni ya ndani yaliyohakikiwa watalipwa madeni yao. Nimetenga sh bilioni 200 kulipa," amesema rais Magufuli leo jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment