Jinsi waziri mkuu alivyoshiriki mkutano wa AU Ethiopia...soma habari kamili na matukio360...#share
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa amehudhuria katika Mkutano wa
Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU, kumwakilisha Rais John Pombe
Magufuli. Januari 29, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais mstaafu wa
awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) na Rais wa Zimbabwe, Emmerson
Mnangagwa (katikati) nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa, Waziri
Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano
wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahi jambo na Rais mstaafu wa
awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete, nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini
Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe
Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika
AU. Januari 29, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mke wa Baba wa
Taifa, Mama Maria Nyerere, nje ya ukumbi wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa,
Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye
Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mjumbe Maalum na
Mwenyekiti wa Umoja wa Africa Nchini Sudan, Prof. Joram Biswaro, nje ya ukumbi
wa Nelson Mandela mjini Addis Ababa, Waziri Mkuu yupo Nchini Ethiopia,
kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi
za Umoja wa Afrika AU. Januari 29, 2018.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
No comments:
Post a Comment