Magufuli ateta na mjumbe maalum kutoka Rwanda...soma habari kamili na matukio360...#share


Rais John Magufuli akiongea  na Dkt Donald Kaberuka, Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame (kushoto kwa Rais),  katika mazungumzo yaliyohudhuriwa pia na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Uwekezaji Profesa Adolf Mkenda Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018

Rais John Magufuli katika picha ya pamoja na Dk. Donald Kaberula, Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Paul Kagame  na ujumbe wake pamoja na  na Waziri Mkuu  Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dotto James na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Uwekezaji Profesa Adolf Mkenda Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018
Rais John Magufuli akiagana na Dk. Donald Kaberuka, Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame, huku Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akishuhudia baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018


Rais John Magufuli akimlaki Balozi wa Zimbabwe aliyemaliza muda wake nchini Edzai A.C. Chimonyo aliyefika kumuaga rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018

Rais John Pombe Magufuli akiongea na Balozi wa Zimbabwe aliyemaliza muda wake nchini Edzai A.C. Chimonyo aliyefika kumuaga rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018
PICHA NA IKULU




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search