Makonda awasaka matapeli Dar es salaam...soma habari kamili na matukio360...#share

Na mwandishi wetu, Dar es salaam
MKUU wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewataka wananchi wa mkoa huo waliodhulumiwa mali zao ikiwemo viwanja, nyumba, shamba, gari na vitu tofauti kufika ofisi ya mkuu wa mkoa Ilala Boma kuanzia Januari 29 hadi Februari 02, 2018 ili kupatiwa msaada wa kisheria.
Paul Makonda
Taarifa yake kwa umma inaeleza kuwa Makonda ameandaa magwiji wa sheria wa kutosha kwa lengo la kuwasikiliza.
"Cha muhimu ni kufika na nyaraka na vielelezo halali ili mpatiwe haki zenu." Inaeleza taarifa hiyo
"Hii ni baada ya RC Makonda kubaini uwepo wa baadhi ya wananchi wanyonge wanaodhulumiwa na kunyanyasika kwa kuporwa haki zao na watu wenye uwezo kifedha au wanasheria wenye utaalamu unaokandamiza wanyonge."
MKUU wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amewataka wananchi wa mkoa huo waliodhulumiwa mali zao ikiwemo viwanja, nyumba, shamba, gari na vitu tofauti kufika ofisi ya mkuu wa mkoa Ilala Boma kuanzia Januari 29 hadi Februari 02, 2018 ili kupatiwa msaada wa kisheria.
Paul Makonda
Taarifa yake kwa umma inaeleza kuwa Makonda ameandaa magwiji wa sheria wa kutosha kwa lengo la kuwasikiliza.
"Cha muhimu ni kufika na nyaraka na vielelezo halali ili mpatiwe haki zenu." Inaeleza taarifa hiyo
"Hii ni baada ya RC Makonda kubaini uwepo wa baadhi ya wananchi wanyonge wanaodhulumiwa na kunyanyasika kwa kuporwa haki zao na watu wenye uwezo kifedha au wanasheria wenye utaalamu unaokandamiza wanyonge."
No comments:
Post a Comment