WAZIRI wa Maliasili na Utalii,Dk Hamis Kigwangalla leo mjini Dodoma anatarajia kutaja majina ya wanaotuhumiwa kwa ujangili nchini
Waziri, Dk Hamis Kigwangalla
Ametoa taarifa hiyo kupitia ukurasa wake wa Twita:
About Author Matukio360
Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.
No comments:
Post a Comment