Diamond: Wananigombanisha na Amisa Mobeto...soma habari kamili na matukio360...#share
Na Abdulrahim Sadiki, Dar es salaam
MWANAMUZIKI Nasib Abdul 'Diamond Platinum' amesema watu wenye nia mbaya wanamgombanisha na mzazi mwenzake Amisa Mobeto kupitia mtoto wao.
Diamond akiwa na mmoja wa watoto wake
Amesema hayo leo jijini Dar es salaam katika eneo la Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kitengo cha watoto mara baada ya kesi yao ya usuluhishi wa malezi ya mtoto wao kusomwa.
MWANAMUZIKI Nasib Abdul 'Diamond Platinum' amesema watu wenye nia mbaya wanamgombanisha na mzazi mwenzake Amisa Mobeto kupitia mtoto wao.
Diamond akiwa na mmoja wa watoto wake
Amesema hayo leo jijini Dar es salaam katika eneo la Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kitengo cha watoto mara baada ya kesi yao ya usuluhishi wa malezi ya mtoto wao kusomwa.
No comments:
Post a Comment