Hiki hapa kikosi cha Simba kinachoanza leo Djibout....soma habari kamili na matukio360...#share

Na mwandishi wetu.
KOCHA mkuu wa timu ya Simba, Pierre Lechantre ametangaza kikosi kinachoikabili Gendarmerie Tnale ya Djibout jioni hii katika michuano ya shirikisho barani Afrika mchezo wa marudiano.







Itakumbukwa kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam Simba ilishinda goli 4-0, magoli hayo yalifungwa na John Bocco aliyefunga magoli mawili, Said Ndemla moja na Emmanuel Okwi moja.



Katika mchezo huu Simba inahitaji sare au ushindi wa aina yoyote ili kusonga mbele katika hatua inayofuata.


Kikosi  cha timu ya Simba


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search