Yanga yavutwa shati, Ajib atupia...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi Wetu

TIMU ya Yanga imetoshana nguvu na timu ya St. Louis ya Shelisheli kwa kufungana goli 1-1 katika mchezo wa marudiano kwenye michuano ya kombe la klabu bingwa barani Afrika uliochezwa nchini Shelishili.
Ibrahim Ajib

Yanga ndiyo ilikuwa ya kanza kupata goli lililofungwa na kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajib kunako dakika ya 45 kipindi cha kwanza huku la St. Louis likifungwa kunako daika ya 90 kipindi cha pili.

Pamoja na matokeo hayo Yanga imefuzu hatua ya pili katika mashindano hayo kwa jumla ya magoli 2-1.


Katika hatua ya pili Yanga anatarajwa kukutana na mshindi kati ya Al Merriekh ya Sudan na Township Rollers ya Botswana.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search