Lowassa atoa msimamo wake kuhusu maandamano.... soma habari kamili na matukio360....#share

Na mwandishi wetu, Dar es salaam
WAZIRI mkuu mstaafu, Edward Lowassa ametoa msimamo wake kuhusu maandamano yanayodaiwa kufanyika  Aprili 26, 2018 siku ambayo ni sikukuu ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Amepinga maandamano hayo akisema hayana tija na yanahatarisha uvunjifu wa amani ya nchi.

Edward Lowassa


Mapema hii leo Lowassa ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema katika ukurasa wake wa Facebook ameandika;


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search