#NAJUA WAJUA, JEE ULILIJUA HILI LA #FIRST LADY# MTARAJIWA WA NCHINI UFARANSA ? SOGEA KARIBU NIKUJUZE ZAIDI
![]() |
| Bibi na Bwana Marcon |
Wakati #Emmanuel #Macron akishinda katika
duru ya kwanza ya ya uchaguzi nchini Ufaransa, mkewe... Amekuwa
kivutio kikubwa katika mitandao ya kijamii, ndani na nje ya nchi hiyo.
Unajua ni kwanini
amekuwa kivutio? Jibu ni kwamba First lady huyu mtarajiwa wa nchi moja tajiri
sana kwa viwanda duniani alikutana na Macron wake kipindi tayari akiwa mama wa
39 na watoto watatu(3) wakati Macron mwenyewe akiwa kinda wa miaka 15 tu.
Wapenzi hawa
wameweza kudumu wakiwa pamoja kama mke na mume miaka nenda rudi licha ya
changamoto kubwa za tofauti ya umri wao mpaka sasa wakati mwana mama huyu
anatarajia kuingia Ikulu akiwa na umri mkubwa wa miaka 64, huku mume
akiwa kijana mbichi anaechipukia akiwa na miaka 39 tu.
![]() |
| Bwana na Bibi Macron katika moja ya #Matukio |
Kuna msemo wa
kiswahili husema #age is just number..
Leo bibi Macron ni
mke wa Rais na (#First Lady) mtarajiwa...... Mnaonaje hii?





No comments:
Post a Comment