AJIRA FAIR.. Mama Samia Azindua Tamasha la Fursa za Ajira #share kwa China na Tz
Ndugu msomaji wa Matukio, leo Makamu wetu wa Rais Mama yetu mpendwa kabisa mama Samia Hassan Suluhu alipata fursa ya kusikiliza nyimbo mbili za Taifa za Tanzania na Uchina alipoalikwa kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa fursa mbali mbali za kiuchumi na Ajira baina ya nchi zetu mbili..
Hili ni tukio la pili la uzinduzi lililopewa jina la Kihistoria la Kichina yaani "Noble Center" na ku'hostiwa na CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
Usipitwe kama ulipitwa na tukio hili muhimu kabisa.. bofya play twende sawa..
Hili ni tukio la pili la uzinduzi lililopewa jina la Kihistoria la Kichina yaani "Noble Center" na ku'hostiwa na CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
Usipitwe kama ulipitwa na tukio hili muhimu kabisa.. bofya play twende sawa..
No comments:
Post a Comment