Video: 'Rama mla vichwa vya watu' "aibuka upyaa" #share

'Rama mla vichwa vya watu' "aibuka upyaa" aanza kufunguka mwanzo mwicho kilichotokea.. ni story ya kutisha bila shaka hasa kwa tuliopata kushudia mtiriko ule.. 
Leo hii wazee wa kuibua 'mambo' wa Global wamemuita mezani Ramadhani Musa aliejulikana kama (Rama mla vichwa vya watu) na kwa sasa ameshakuwa mkaka mkubwa.. aelezee ni nini hasa kilichojiri na hisia zake juu ya tukio lile kwa sasa ! 
Na jee jamii inamchukuliajee !!? 

Ungana nasi..

 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search