Magazetini Leo 18/06/2017: Suluhu ya Makinikia kuleta vigogo mezani.. majina ya Lissu, Zitto Kabwe yachomoza.. #share pia kuna jina la 'kigogo' wa Rais Trump..

Tanesco 'kukatiwa Umeme', yadaiwa Billion 53 Gesi.. Sumaye,Warioba wajitosa vita ya Makinikia,.. Serikali yaambiwa ikune kichwa timu ya 'mpambano' na Barrick.. Majeruhi wa Lucky Vicent sasa kurejea nchini, Mangula wa CCM asema 'panga la mwaka' laja.. na wadau wahoji 'vifungu' vya Mwakyembe kulifungia Mawio..
























About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search