Tetesi za usajili ! Ngoma Kutumika Yanga Miaka Miwili.. #share.. Kapombe + Okwi = Mafisango !!
Mshambuliaji nguli wa Timu ya Soka ya Yanga, Donaldo Dompo Ngoma, ametegua kitendawili kilichokuwa kimewazonga mashabiki wake kwa kurejea klabuni hapo na kuongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu.
Wakati huo huo.. Beki mpya wa Simba, Shomari Kapombe amesema kurejea kwao akiwemo Emmanuel Okwi ni sawa na kuirejesha Simba ya enzi za Patrick Mafisango.
Kapombe ambaye amerejea Simba akitokea Azam FC, amesema amefurahi kwa kuwa anaamini kikosi chao kitakuwa imara na kinachotakiwa ni ushirikiano tu.
Mafisango alikuwa kiungo wa Simba raia wa DR Congo na alifariki kwa ajali ya gari mwaka 2012.
“Itakuwa ni sawa na Simba ya kipindi cha kina Mafisango, wanaweza kuongeza nguvu tu katika ulinzi zaidi.
“Lakini hii itakuwa ni Simba yenye ushindani mkubwa na kama tutashirikiana na kujituma, ninaamini tutafanya vizuri,” alisema.
Wakati huo huo.. Beki mpya wa Simba, Shomari Kapombe amesema kurejea kwao akiwemo Emmanuel Okwi ni sawa na kuirejesha Simba ya enzi za Patrick Mafisango.
Kapombe ambaye amerejea Simba akitokea Azam FC, amesema amefurahi kwa kuwa anaamini kikosi chao kitakuwa imara na kinachotakiwa ni ushirikiano tu.
Mafisango alikuwa kiungo wa Simba raia wa DR Congo na alifariki kwa ajali ya gari mwaka 2012.
“Itakuwa ni sawa na Simba ya kipindi cha kina Mafisango, wanaweza kuongeza nguvu tu katika ulinzi zaidi.
“Lakini hii itakuwa ni Simba yenye ushindani mkubwa na kama tutashirikiana na kujituma, ninaamini tutafanya vizuri,” alisema.
Arsenal inakaribia kumnasa winga wa Monaco ya Ufaransa Thomas Lemar kwa dau la pauni milioni 30. #TetesiZaUsajili pic.twitter.com/aairWKQlCP— AzamTV (@azamtvtz) June 28, 2017
Welcome to Colney, lads!— Arsenal FC (@Arsenal) June 28, 2017
This year's new scholars have been training here for the very first time today#WeAreTheArsenal 🔴 pic.twitter.com/ShBBP30e9W
#DewjiBlogNews: Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga. pic.twitter.com/djuA7mmxMZ— MO Dewji Blog (@DewjiBlog) June 28, 2017
And the winner is... @Wix and @ManCity present Woo the Boards!
— Manchester City (@ManCity) June 27, 2017
📺➡️ https://t.co/uLniKoI2Y5 #mcfc pic.twitter.com/n6V055AAZG
Yoga not as safe as thought: Study - Times of India https://t.co/DQooaiKyqr
— cochesvoladores (@cochesvoladores) June 28, 2017
Shabana still fighting for life in Division One https://t.co/UAfyGR9KpK pic.twitter.com/n0T2a7aYoB
— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) June 28, 2017
— Dimba Newspaper (@DimbaNewspaper) June 28, 2017
No comments:
Post a Comment