Big News: JPM azindua maboresho ya Bandari.. World Bank yatoa Dola 345 Million.. Uchaguzi TFF wapigwa stop.. #share.. Barnabas Mwakalukwa kuwa Msemaji wa Jeshi la Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amezindua mradi mkubwa wa upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam utakaoendesha kwa ufadhili wa Benk ya Dunia na Serikali ya Tanzania.
Matukio blog imekuletea matukio muhimu wakati Rais akiwasili Bandarini hapo kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi wa maboresho hayo... pamoja na matukio mengine makubwa yanayojiri mchana huu.
fuatana na uzi huu.
[7/2, 12:12] Peter Elias-MCL: Niwaombe wanasiasa wajifunze kuchunga midomo yao. Unakuta kiongozi anasema waondolewe rockup, hajui kuna wengine walikaa Guantanamo Bay kwa miaka na miaka. #RaisMagufuli
[7/2, 12:13] Peter Elias-MCL: Unaweza ukaona huyo naye anahusika kwa namna au nyingine. Wajifunze kufunga midomo yao wakati serikali inafanya kazi yake. #RaisMagufuli
[7/2, 12:15] Peter Elias-MCL: Nataka polisi mfanye kazi kazi yenu. Hawa wanaoropoka ovyo waisaidie polisi kufanya uchunguzi #RaisMagufuli
[7/2, 12:22] Peter Elias-MCL: Kuna kampuni moja inakwepa kodi, ilitangaza kujifuta ikaanzisha kampuni nyingine. Walikuwa wanasema mizigo yao ni transit ili wakwepe kodi #RaisMagufuli
[7/2, 12:26] Peter Elias-MCL: Kuna vichwa 15 vya treni vilishushwa hapa lakini havina mwenyewe. Inawezekana vipi vichwa vya treni vinafika hapa bandarini, vinashushwa lakini mwenyewe hajulikani! Ni kwa sababu hakuna coordination, huo ni mchezo mchafu. Vyombo vya dola vianze kuwachunguza hao.
VIDEO: Ujenzi unaendelea TAZARA Dar es salaam kujenga barabara za juu, hii video ni ya leo July 2 2017. #MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/a7BvpavQj1
— millard ayo (@millardayo) July 2, 2017
Matukio blog imekuletea matukio muhimu wakati Rais akiwasili Bandarini hapo kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi wa maboresho hayo... pamoja na matukio mengine makubwa yanayojiri mchana huu.
fuatana na uzi huu.
[7/2, 12:12] Peter Elias-MCL: Niwaombe wanasiasa wajifunze kuchunga midomo yao. Unakuta kiongozi anasema waondolewe rockup, hajui kuna wengine walikaa Guantanamo Bay kwa miaka na miaka. #RaisMagufuli
[7/2, 12:13] Peter Elias-MCL: Unaweza ukaona huyo naye anahusika kwa namna au nyingine. Wajifunze kufunga midomo yao wakati serikali inafanya kazi yake. #RaisMagufuli
[7/2, 12:15] Peter Elias-MCL: Nataka polisi mfanye kazi kazi yenu. Hawa wanaoropoka ovyo waisaidie polisi kufanya uchunguzi #RaisMagufuli
[7/2, 12:22] Peter Elias-MCL: Kuna kampuni moja inakwepa kodi, ilitangaza kujifuta ikaanzisha kampuni nyingine. Walikuwa wanasema mizigo yao ni transit ili wakwepe kodi #RaisMagufuli
[7/2, 12:26] Peter Elias-MCL: Kuna vichwa 15 vya treni vilishushwa hapa lakini havina mwenyewe. Inawezekana vipi vichwa vya treni vinafika hapa bandarini, vinashushwa lakini mwenyewe hajulikani! Ni kwa sababu hakuna coordination, huo ni mchezo mchafu. Vyombo vya dola vianze kuwachunguza hao.
Rais Magufuli amewasili ktk Bandari ya Dar es Salaam kuweka jiwe la msingi— Jamii Forums (@JamiiForums) July 2, 2017
- Ni katika mradi wa upanuzi wa Bandari hiyo#JFLeo pic.twitter.com/QqdQC2SZjh
#UboreshajiBandariyaDSM "Bandari itaweza kuhudumia meli kubwa zenye wastani wa mita 320"-Mkurugenzi Mkuu TPA - Eng. Kakoko.— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) July 2, 2017
#UboreshajiBandariyaDSM "Benki ya Dunia imetoa Dola za Kimarekani Mil. 345 katika uboreshaji wa bandari ya DSM," - #Bella #MuwakilishiWB— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) July 2, 2017
#UboreshajibandariDSM "Sisi tutachangia Dola Mil.63.4,Benki ya Dunia Dola Mil.345.2 na Serikali ya Uingereza Dola Mil.12.4"-Rais @MagufuliJP— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) July 2, 2017
#UboreshajibandariyaDSM "Mradi utakapokamilika utanufaisha Taifa na nchi jirani zinazotumia bandari ya DSM," - Prof. @MbarawaM .— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) July 2, 2017
SOKA: Taifa Stars leo watavaana na Bafana Bafana(Afrika Kusini) ktk robo fainali ya michuano ya #COSAFACup2017 pic.twitter.com/Mmf8c3gcco— Jamii Forums (@JamiiForums) July 2, 2017
VIDEO: Ujenzi unaendelea TAZARA Dar es salaam kujenga barabara za juu, hii video ni ya leo July 2 2017. #MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/a7BvpavQj1
— millard ayo (@millardayo) July 2, 2017
Jeshi la Polisi lamteua Kamishna Msaidizi wa Polisi Barnabas Mwakalukwa kuwa Msemaji wake— Jamii Forums (@JamiiForums) July 2, 2017
- Anachukua nafasi ya Advera Bulimba#JFLeo
Rais Magufuli amesema kuna vichwa 13 vya treni vimeshushwa bandari havijulikani ni vya nani. TRL wasema hawajaagiza na hawajasaini mkataba. pic.twitter.com/iOWqwDsDFL— Swahili Times (@swahilitimes) July 2, 2017
How do officials and experts view Chinese President #XiJinping's upcoming visit to Russia? Read for more: https://t.co/QW9xSoBQMK #XiVisit pic.twitter.com/VUYIHeCTtr— China Xinhua News (@XHNews) July 2, 2017
#JPMBandarini— Swahili Times (@swahilitimes) July 2, 2017
Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuboresha miundombinu kwa kupanua bandari mbalimbali, viwanja vya ndege na barabara. pic.twitter.com/a2nWdMjfqv
Shirikisho la Soka TZ, TFF limeridhia kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa shirikisho hilo hadi matatizo yaliyojitokeza yatakaposhughulikiwa pic.twitter.com/QMwSdesWPA— AzamTV (@azamtvtz) July 2, 2017
Sarakasi uchaguzi mkuu wa TFF pic.twitter.com/BPTvEulVMv— Maulid Kitenge (@mshambuliaji) July 2, 2017
Polisi mfanyekazi, wanaoropoka waisaidie polisi, msiogope sura, mwendo wa haraka, polepole au kukimbia, mkamateni aisaidie akiwa ndani- JPM pic.twitter.com/YWMzKg9JwI— Swahili Times (@swahilitimes) July 2, 2017
Shirikisho la Soka TZ, TFF limeridhia kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa shirikisho hilo hadi matatizo yaliyojitokeza yatakaposhughulikiwa pic.twitter.com/QMwSdesWPA— AzamTV (@azamtvtz) July 2, 2017
Arsenal will sign Alexandre Lacazette this weekend! [@JBurtTelegraph] pic.twitter.com/QQt6moKrsz— ArsenalFanTV (@ArsenalFanTV) July 1, 2017
No comments:
Post a Comment