Picha 6 za Staa mwengine wa Soka la uingereza alietangaza ndoa siku ya jana ..#share

Mshambuliaji wa Tottenham, Harry Kane ametangaza uchumba kipindi hiki cha mapumziko.

Mshambuliaji huyo aliibuka mfungaji bora msimu ulioisha wa Ligi Kuu England akifikisha mbao 29, huku klabu yake ikimaliza nafasi ya pili.
Kane ametangaza uchumba kwa kimwana Kate Goodland ambaye amemzalia mmoja na sasa amesema atafunga naye ndoa mipango ya harusi ikikamilika.
Tukio hilo la kumvalisha Kate pete ya uchumba lilifanyika ufukweni wikiendi hii.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search