News Flash: Halima Mdee aibukia 'Mimba Mashuleni..' Mama Samia ahudhuria AU Summit Addis #share.. Note 7 Yarudi Sokoni Kiaina..
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema(Bawacha), Halima Mdee amezitaka halmashauri zinazoongozwa na chama hicho kuhakikisha zinawasaidia waliopata mimba shuleni kuendelea na masomo.
Mdee ameyasema hayo leo Jumatatu wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wake aliofanyia makao makuu ya Chadema jijini hapa.
Amesema viongozi wa halmashauri hizo hawapaswi kuogopa kutimiza wajibu wao kutokana na kauli ya Rais John Magufuli ya kuzuia wanafunzi wanaopata mimba kutoendelea na masomo.
Alisema wenyeviti wa halmashauri zilizopo chini ya Chadema waonyeshe mfano kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa misingi Katiba na sheria ikiwamo ya elimu ambapo pamoja na mambo mengine inaweka misingi ya kupata elimu na kutobaguliwa kwa kigezo chochote.
"Nafahamu Rais anachukia wanawake, ana mfumo dume hii imeonyesha kwenye uteuzi wake, ila sikujua kama anawachukia hadi wasichana yaani msichana akipata mimba shule ndoto zake zinazimwa, wengine walibakwa,"alisema Mdee - Mcl digital
Addis Ababa: Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amehudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za AU akimwakilisha Rais John Pombe Magufuli. pic.twitter.com/Um7e77WxtW— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) July 3, 2017
Wimbledon 2017: Security stepped up after terror attacks https://t.co/mDbw0ClkSo— BBC News (UK) (@BBCNews) July 3, 2017
A bus crash in Germany left "multiple" dead, several missing and at least 31 injured, the police said https://t.co/qbYDWRvbqt— The New York Times (@nytimes) July 3, 2017
Former Chelsea captain Terry joins Aston Villahttps://t.co/oMhkCpV1TX— The Standard Digital (@StandardKenya) July 3, 2017
^PG pic.twitter.com/ia31DsB5s3
Samsung imeanza kuuza simu nyingine ambazo imetumia baadhi ya vifaa vilivyokuwa kwenye simu za Galaxy Note 7 ambazo zilikuwa na matatizo. pic.twitter.com/L9N2sUupe0— millard ayo (@millardayo) July 3, 2017
Anti-terror cooperation key part of China-Russia partnership: Xi https://t.co/Dl777e3as3 pic.twitter.com/35rZt8QPpn— China Xinhua News (@XHNews) July 3, 2017
BBC Sport - John Terry: Aston Villa owner announces signing of ex-England captain https://t.co/F0AEQUC4Ql— Salim Kikeke (@Salym) July 3, 2017
Our new 2017/18 home kit by @adidasfootball - take a look behind the scenes with our players.#MUFC #HereToCreate pic.twitter.com/a3C8eSjC0h— Manchester United (@ManUtd) July 3, 2017
I. Mwaura: Ni jambo la kushangaza watu fulani kudai watawapa wanafunzi wa vyuo mikopo ilhali hili ni jambo tayari linalotendeka #NTVSasa pic.twitter.com/fzErWnU5GC— NTV Kenya (@ntvkenya) July 3, 2017
UK gov’t unaware of plans by US President Trump to visit his golf course in Scotland during upcoming G20 triphttps://t.co/tW6zYET81s— DAILY SABAH (@DailySabah) July 3, 2017
Kuna beef? Idris Sultan na Harmonize wachanana mitandaoni ya kijamiihttps://t.co/bKowEzSGHI pic.twitter.com/0an6YKeJaD— Ghafla Tanzania (@GhaflaTanzania) July 3, 2017
UK government not aware of plans for Trump visit in next few weeks: May's spokesman https://t.co/MG7LrIpIz3— Reuters Top News (@Reuters) July 3, 2017
Everton kutangaza usajili wa beki Michael Keane https://t.co/xlf8qxK8ak— bbcswahili (@bbcswahili) July 3, 2017
Korti ya Kisutu imewaongezea Rugemalila na Seth mashtaka 6,matano kati ya hayo ni utakatishaji, warudishwa rumande hadi Julai 14-MCL pic.twitter.com/xsuNIfcFq1— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 3, 2017
Kikosi cha Tanzania kinachoanza pambano la robo fainali ya Kombe la Cosafa Castle dhidi ya wenyeji Afrika Kusini leo saa 12 jioni. pic.twitter.com/04wEYvNxjH— Soka360® (@soka360tz) July 2, 2017
Tupo na Chid Benz katika dakika 10 za maangamizi. Msikilize sasa akifanya yake kwenye #PlanetBongo— East Africa Radio (@earadiofm) July 3, 2017
#SPORTSUPDATES Beki wa Chelsea John George Terry asaini Aston Villa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Chelsea #Rahimu1993UPDATES pic.twitter.com/jqOjPKU5ie— rahimu1993 (@rahimu1993) July 3, 2017
#PICHA Gari rasmi litakalokuwa likitumiwa na timu ya Singida United katika ligi kuu Tanzania Bara pic.twitter.com/qzIac6hGLr— AzamTV (@azamtvtz) July 3, 2017
VIDEO: “Kuna wanaume hawataki wake zao wafanye kazi” – Dr. Ackson - https://t.co/UYQtygwy4N pic.twitter.com/WsGKLoOiMg— millard ayo (@millardayo) July 3, 2017
Winga wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Enock Atta Agyei, alipotembelea timu yake ya zamani... https://t.co/u3oJ86gZjy— Azam FC (@azamfc) July 3, 2017
Mwanamuziki Kanye West amejitoa katika Kampuni ya Tidal inayomilikiwa na JAY-Z kufuatia mgogoro wa kimaslahi ($ 3m) uliokuwepo kwa muda. pic.twitter.com/qk3EbfTAG0— Swahili Times (@swahilitimes) July 3, 2017
Utaratibu wa uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi mbalimbali. pic.twitter.com/U6SYgDQm06— Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) July 3, 2017
JPM ziarani Sengerema kesho https://t.co/bxtpdCKcbV via @MwananchiNews— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 3, 2017
DCJ warns parties against ignoring orders to repeat nominations https://t.co/eEhyZAQF07— Capital FM Kenya (@CapitalFMKenya) July 3, 2017
USAJILI UINGEREZA: Mchezaji mkongwe, John Terry amejiunga na klabu ya Aston villa akiwa mchezaji huru, kwa... https://t.co/X44KLCpwgQ— Mwanaspoti (@MwanaspotiTZ) July 3, 2017
No comments:
Post a Comment