sPORTS nEWS: Simba yaanza kwa kichapo Afrika Kusini...#share
Klabu ya Simba imechezea kichapo cha goli 1-0 kutoka kwa
klabu ya Orlando Pirates katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye dimba la
Orlando nchini Afrika Kusini.
Goli hilo ambalo lilifungwa mnamo kipindi cha kwanza limeweza
kudumu hadi mwisho wa mchezo na hivyo Simba kuambulia patupu.
Kwa zaidi ya majuma matatu sasa klabu ya Simba ipo nchini
Afrika kusini kwa maandalizi ya mechi ya Simba day, Ngao ya Jamii dhidi ya
watani wao wa jadi Yanga pamoja na msimu ujao wa Ligi kuu Tanzania Bara.
No comments:
Post a Comment