Samia Suluhu atoa pole kifo mke waziri Lugola...soma habari kamili na matukio360...#share
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Kangi Lugola alipofika kutoa pole ya
msiba wa mke wake, Kamishna Msaidizi wa Polisi Mary Lugola aliyefariki siku ya
tarehe 01, Januari, 2018 katika hospitali ya Rabininsia jijini Dar es Salaam
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha
maombolezo ya msiba wa mke wa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira Lugola, Kamishna Msaidizi wa Polisi marehemu Mary Lugola
aliyefariki siku ya tarehe 01, Januari, 2018 katika hospitali ya Rabininsia
jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiifariji familia ya
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Kangi Lugola
wakati alipoenda kuwapa pole ya msiba wa Kamishna Msaidizi wa Polisi marehemu
Mary Lugola nyumbani kwao klabu ya reli, Gerezani, jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Kangi Lugola
wakati alipoenda kutoa pole ya msiba wa mke wake Kamishna Msaidizi wa Polisi
marehemu Mary Lugola aliyefariki siku ya tarehe 01, Januari, 2018 katika
hospitali ya Rabininsia jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwapa pole watoto
wa marehemu Mary Lugola , aliyekuwa mke wa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu
wa Rais Muungano na Mazingira Kangi
Lugola aliyefariki siku ya tarehe 01, Januari, 2018 katika hospitali ya
Rabininsia jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan akiwa msibani kwa Kamishna Msaidizi wa Polisi
marehemu Mary Lugola mke wa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na Mazingira Kangi Lugola,
wengine pichani ni Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais January Makamba (wa kwanza kushoto), Katibu
Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo (wa pili kulia) na Naibu
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Butamo Phillip.
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
No comments:
Post a Comment