Meya Ubungo, Temeke wazichapa kavukavu....soma habari kamili na matukio360..#share
Na Salha Mohammed, Dar es salaam
WAZICHAPA kavukavu ndivyo unavyoweza kusema baada ya meya wa Ubungo(Chadema) Boniface Jacob na meya wa Temeke(CCM) Abdallah Chaurembo leo kupambana hadharani katika uchaguzi wa naibu meya wa jiji la Dar es salaam.
Meya wa Ubungo na wa Temeke wakiamuliwa baada ya kupambana kavukavu leo jijini Dar es salaam katika ukumbi wa karimjee katika uchaguzi wa naibu meya wa jiji la Dar es salaam.
Hatua hiyo ilifuatia baada kuibuka kwa mvutano wa wajumbe wa Baraza la jiji wa CCM na Ukawa ambapo Ukawa walitaka uchaguzi huo kuahirishwa kufuatia mgombea wao kuwa mgonjwa huku CCM wakipinga.
Hata hivyo uchaguzi ulifanyika na mkurugenzi wa jiji Sipola Liana alimtangaza Musa Kafana(CUF) kuwa mshindi kwa kupata kura 12 kwa kumi za Mariam Mrolida (CCM) na kwamba hakuna kura zilizoaribika.
Jiji la Dar es salaam linaongozwa na meya Isaya Mwita(Chadema)
Angalia picha mbalimbali zikionyesha matukio yaliyoajiri katika ukumbi wa karimjee jijini Dar es salaam. Picha zote na Salha Mohammed
Hhhhhhhhhh
Mgombea wa Ukawa, Musa Kafana akiwa amebebwa kuingia katika ukumbi wa karimjee
Musa Kafana akiwa amelala
Musa Kafana akiwa amefunikwa joho
WAZICHAPA kavukavu ndivyo unavyoweza kusema baada ya meya wa Ubungo(Chadema) Boniface Jacob na meya wa Temeke(CCM) Abdallah Chaurembo leo kupambana hadharani katika uchaguzi wa naibu meya wa jiji la Dar es salaam.
Meya wa Ubungo na wa Temeke wakiamuliwa baada ya kupambana kavukavu leo jijini Dar es salaam katika ukumbi wa karimjee katika uchaguzi wa naibu meya wa jiji la Dar es salaam.
Hatua hiyo ilifuatia baada kuibuka kwa mvutano wa wajumbe wa Baraza la jiji wa CCM na Ukawa ambapo Ukawa walitaka uchaguzi huo kuahirishwa kufuatia mgombea wao kuwa mgonjwa huku CCM wakipinga.
Hata hivyo uchaguzi ulifanyika na mkurugenzi wa jiji Sipola Liana alimtangaza Musa Kafana(CUF) kuwa mshindi kwa kupata kura 12 kwa kumi za Mariam Mrolida (CCM) na kwamba hakuna kura zilizoaribika.
Jiji la Dar es salaam linaongozwa na meya Isaya Mwita(Chadema)
Angalia picha mbalimbali zikionyesha matukio yaliyoajiri katika ukumbi wa karimjee jijini Dar es salaam. Picha zote na Salha Mohammed
Hhhhhhhhhh
Mgombea wa Ukawa, Musa Kafana akiwa amebebwa kuingia katika ukumbi wa karimjee
Zzzzxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Musa Kafana akiwa amelala
Musa Kafana akiwa amefunikwa joho
No comments:
Post a Comment