Chadema yapinga matokeo Kinondoni, Siha...Soma habari kamili na matukio360...#share

Na mwandishi wetu, Dar es salaam

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mdogo ya ubunge Kinondoni na Siha ikidai yamepatikana kinyume na katiba ya nchi, sheria, kanuni na maadili ya uchaguzi.
Wafuasi na wanachama wa Chadema na aliyevaa nguo za kaki ni aliyekuwa mgombea ubunge katika uchaguzi mdogo Jimbo la Kinondoni Salum Mwalimu.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search