Kingunge Kongambale Mwiru afariki dunia....soma habari kamili na matukio360....#share

Na mwandishi wetu, Dar es salaam
MWANASIASA mkongwe, Kingunge Kongambale Mwiru amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Rais Magufuli alipomjulia hali mzee Kingunge alipokuwa amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili
Ndugu wa karibu wa Kingunge ameiambia matukio360 kuwa amefariki akiwa katika hospitali ya taifa ya rufani ya Muhimbili(MNH) alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu kufuatia kung'atwa na kujeruhiwa na mbwa nyumbani kwake eneo la Victoria jijini Dar es salaam
Kifo hicho kinatokea ikiwa ni siku chache baada ya mke wake kufariki na kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Amefariki majira ya saa tisa usiku wa kuamkia leo.
MWANASIASA mkongwe, Kingunge Kongambale Mwiru amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Rais Magufuli alipomjulia hali mzee Kingunge alipokuwa amelazwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili
Ndugu wa karibu wa Kingunge ameiambia matukio360 kuwa amefariki akiwa katika hospitali ya taifa ya rufani ya Muhimbili(MNH) alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu kufuatia kung'atwa na kujeruhiwa na mbwa nyumbani kwake eneo la Victoria jijini Dar es salaam
Kifo hicho kinatokea ikiwa ni siku chache baada ya mke wake kufariki na kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Amefariki majira ya saa tisa usiku wa kuamkia leo.
No comments:
Post a Comment