RAIS John Magufuli ametuma salam za rambirambi kufuatia kifo cha mwanasiasa mkongwe, Kingunge Kongambale Mwiru aliyefariki majira ya saa tisa usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya taifa Muhimbili (MNH)
Rais John Magufuli
About Author Matukio360
Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.
No comments:
Post a Comment